NYIMBO ZA IBADA
Tunazo Ibada nyingi katika Kanisa la Orthodoksi. Kila Ibada, ina nyimbo maalum zinazofaa kuimbwa. Liturghia Takatifu ni mojawapo ya Ibada hizi. Kuna aina nne za Liturghia: 1. Ya Mtakatifu Yohana Krisostomu (huadhimishwa mara nyingi mwakani). 2. Ya Mtakatifu Basilio Mkuu (huadhimishwa mara kumi mwakani). 3. Ya Mtakatifu Yakobo (huadhimishwa mara moja tu, tarehe 23 Oktoba – makumbusho yake) . 4. Liturghia ya Vipaji Vilivyotakasika (Wiki zote za Mfungo Mkuu. Siku ya Maria Kupashwa Habari Njema [Machi 25], Liturghia ya Mtk. Yohana Krisostomu huadhimishwa). Tunazo Ibada zingine kama Mazishi, Ndoa, Ubatizo…, na zingine nyingi.
Bwana Yesu alitamka: "Mimi ndimi njia ya kweli, mtu haji kwa Baba yangu ila kwa njia yangu mimi." Hebu jiulize...
Ni Wajibu kweli kukuita heri, Ee Mzazi Mungu , mbarikiwa daima na bila doa tena Mama wa Mungu wetu, uliye...
#doxology #dhoksologia #orthodox #swahiliorthodoxchants #makariosseminary #90's source
Kuzaliwa Kwako Kristo Mungu wetu / kuliletea ulimwengu nuru ya ujuzi / maana kwa hao / wenye kuabudu nyota /...
NEEMA ing'aayo toka kinywani mwako kama taa imeuangazia ulimwengu, imeifichulia dunia hazina ambazo mali haiwezi kununua, na kutuonyesha kimo cha...
Mwana wa Silivria na mlezi wa Aegina mwandani wa uadilifu wa kweli uliyeonyeshanwa miakani ya mwisho Ee Nektarios, kwa imani...
Sauti 7 Enyi Mashahidi watakatifu, ninyi mfano na matendo yenu yamejishindia taji la utukufu, tuteteeni kwa Bwana wetu, na kumwomba...
KWAKO JEMADARI (O Champion General) Sauti ya nane Kwako jemadari, kunilinda nina deni, kukushukuru kwa wokovu...
In you, O Lady full of grace, all creation rejoices, the hosts of Angels and the human race. O consecrated...