#OrthodoxFuneral #Idiomela #fifthmode
Nakumbuka mawazoni nabii aliyesema; “Mie ni udongo tena vumbi”. Mara tena, kwa makini nikaangalia kaburini na kuiona mifupa humo, kavu bila nyama. Na nikasema; “kweli, ni nani mfalme na ni nani askari, nani tajiri nani maskini, nani mwenye haki nani mwenye dhambi?”. Lakini, kwa watumishi Wako, Bwana; pamoja na watakatifu, pumzisha.
I Called to mind the Prophet who shouted, “I am but earth and ash.” And once again I looked with attention on the tombs, and I saw the bones therein which of flesh were naked; and I said, “Which indeed is he that is king? Or which is soldier? Which is the wealthy, which the needy? Which the righteous, or which the sinner?” But to Your servant, O Lord, grant that with the righteous he (she) may repose.
source
Recent posts
Apolitikio ya Pentekoste
Hebu jiulize
Apolitikio ya Kuzaliwa kwa Kristo (Live class with Nyandarua Youths)